APPLICATION FOR SEPTEMBER INTAKE 2024/2025



Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) anakaribisha maombi ya kujiunga na Chuo katika Kampasi zake za Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza na Mbeya kwa muhula wa Septemba 2024/2025 kwa ngazi za astashada,stashahada na shahada . Waombaji wawe na sifa zifuatazo:

  • Mwombaji wa :-

Astashahada (certificate) mwaka mmoja

Awe amehitimu kidato cha nne na mwenye ufaulu wa angalau alama“D” nne, au mwenye NVA level 3.

Stashahada (Diploma) miaka 2

Awe amehitimu kidato cha sita na mwenye ufaulu wa angalau (Principal pasi moja) na (Subsidiary pasi moja), Au amefuzu ngazi ya cheti (certificate) katika chuo kinachotambulika na Serikali/NACTVET.

Shahada (Bachelor Degree)

Awe amehitimu kidato cha sita na mwenye ufaulu wa angalau principal pass 2 zenye jumla ya alama 4 na kuendelea kutoka katika masomo mawili unganishwa Au amefuzu ngazi ya  Stashahada (Diploma) katika chuo kinachotambulika na Serikali/NACTVET na awe na GPA ya kuanzia 3.0 na kuendelea.

Dirisha la maombi kwa njia ya mtandao liko wazi kuanzia Mwezi Mei, 2024

KOZI NA PROGRAMME ZA CHUO:

Masoko ya Kidijitali (Digital Marketing)

  • Usimamizi wa Biashara katika Utunzaji wa Kumbukumbu (Business Administration in Records and Archives Management)
  • Usimamizi wa Biashara katika Rasilimali Watu (Business Administration in Human Resources Management)
  • Usimamizi wa Biashara Katika Ujasiriamali & Uvumbuzi (Business Administration in Entrepreneurship and Innovation)
  • Uchumi naFedha ( Economics & Finance)
  • Masoko Katika Utalii na Usimamizi wa Matukio (Marketing in Tourism and Event Management)
  • Vipimo na Viwango  (Metrology and Standardization)
  • Ugavi na Manunuzi   (Procurement and Supplies  Management)
  • Teknolojia ya Habari (Information Technology
  • Usimamizi wa Vifaa na Usafirishaji (Transport and Logistics Management)

 Tembelea Tovuti ya Chuo www.cbe.ac.tz Au fika katika kampasi zetu kama ifuatavyo/au piga simu hizi

DAR ES SALAAM (Mtaa wa BIBI Titi Mohammed)

0756 722 467/073525 0115

DODOMA (Eneo la Mtaa wa makole Karibu na jengo la Bunge

0754 940 660/0767 097 463

MWANZA Eneo la Ilemela ( Mecco Kangaye)

0759 924 626/0659 707 000/0763296874

MBEYA Eneo la Iganzo- Barabara ya Chunya

0756 516 771/0716 803 664/0768610505