TANGAZO LA NAFASI YA MASOMO - MARCH 2025



  • Chuo kinapokea maombi ya kujiunga katika ngazi ya Cheti, Stashahada na Shahada ya Uzamili (Masters Degree) miaka miwili.

 

  • Ngazi ya Shahada ya Uzamili (Master’s Degree) itatolewa katika fani zifuatazo:
    • Business Administration - Human Resource Management (MBA-HRM)
    • Masters of Business Administration - Finance and Banking (MBA-F&B)
    • Masters of Business Administration - Marketing Management (MBA-MKTM)
    • Masters in International Business Management (MIBM)
    • Masters of Supply Chain Management (MSCM) and
    • Masters Degree in Project Management, Monitoring and Evaluation (MPMME)

 

SIFA ZA KUJIUNGA; -

Shahada ya uzamili (Master’s Degree): Muombaji awe amemaliza Degree ya kwanza na ufaulu wa angalau Lower second-class au Postgraduate Diploma kutoka Katika chuo kinachotambulika na TCU au NACTVET.

 

Mwisho wa kupokea maombi kwa ajili ya kujiunga na Chuo ni 10/03/2025. 

 

Waombaji watume maombi yao kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya Chuo www.cbe.ac.tz Au fika katika kampasi zetu. Gharama za maombi ya kujiunga na chuo ni BURE.

Ada zetu ni nafuu na zinalipwa kwa awamu. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia

Barua pepe: admission@cbe.ac.tz

Mwanza Simu Namba: 0659 707 000 au 0767 692 558

Tovuti: www.cbe.ac.tz

 

 

 

WOTE MNAKARIBISHWA.